.

Jumanne, 15 Oktoba 2013

TAZAMA PICHA 7 ZA GARI JIPYA LA RICH MAVOKO


Hii ndio gari ya kwanza ya msanii wa bongo fleva Rich Mavoko aina ya Nissan March, Gharama yake ameniambia itatimia milioni kumi atakapo maliza malipo ya kila kitu kwenye gari hio ila mpaka sasa imegharimu milioni tisa Tz Shillings. Pesa za kununulia gari zimetokana na muziki tu na sio biashara nyingine. New Ride Ya Rich Mavoko Picha zaidi Ziko Hapa


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni