.

Jumapili, 31 Agosti 2014

ANGALIA PICHA ZA UCHI ZA MSANII NYOTA WA BONGO MOVIE AKICHEZEWA NYETI ZAKE NA MACHANGUDOA WATANO ZANASWA


 

Mmh wimbo la mastaa wetu kuendelea kujishushi hadhi linaendelea kushika kasi kila kukicha huku hakuna sheria zozote zinazochukuliwa dhidi yao. 

Msanii nyota toka kiwanda cha bongo movie Edward Tem "Nick" picha zake za utupu zaidi 200 zimenaswa na mtandao huu hatari   zikimuonesha akiwa na wanawake zaidi ya watano amabao wanasadikika kuwa machangudoa wakimchezea nyeti zake. 
Hapa tumeziweka baadhi ya picha tu ili tupate kujifunza kupitia vitendo viovu wanavyovifanya wasanii wetu hapa nchini ambao ni kioo cha jamii...

Wiki kadhaa za nyuma iliwahi kushushiwa picha za fumanizi la msanii huyo dhidi ya msanii wake wa kike ambae alifumaniwa nae maeneo ya Kawe Jijini Dar ambapo sakata hili liliishia kituo cha Polisi Hananasifu baada ya msanii huyo kuridhia kumlipa mwenye mke kiasi cha shilingi laki tano.

Chanzo chetu kiliendelea kusema kuwa picha hizi za utupu zilipigwa siku nyingi kabla ya hilo fumanizi na zimevuja kutoka kwenye kamera yake mara baada ya kupotea ambapo blog hii ilifanya jitahada za kumtafuta msanii huyo kupitia simu yake ya kiganjani lakini kwa bahati mbaya hakuweza kupatikana.

Msanii huyo ambae sasa hivi ameachia filamu zake kama Bad Father,The,re ma sons, House Girl na Boss ambapo kati ya filamu hizo moja tu ndiyo iliyopelekwa kampuni ya Pilipili Entertainment ya Bad Father...

Bofya hapo chini kuziona picha hizo za uchi za msanii huyo chipukizi wa bongo movie....










18+ MASOGANGE AACHIA PICHA AKIWA KAANIKA KILA KITU UUUUUUUUUH!!!! UKIONA LAZIMA UWEHUKE.....TOTOOOOOO PICHA VIDEO HAPA...




Huwezi kuamini unachokiona lakin ni aibu tupu....Huyu ni msanii mkubwa wa Bongomovies ambaye kajipatia umaarufu mkubwa kwa kuwa na skendo za hapa na pale. Ukiona picha za uamualizopigatazimia kabisaaa.... CHUKUA DAKIKA TATU KUCHEKI HIZI PICHA ZAKE 6

POMBE SIO CHAI JAMAA BIA MBILI TU KAANZA KUVUA NGUO NA KUWEKA MAPOZI YA KIMISI WATU WAMPIGE PICHA


Pombe usipoweza kuicontrol basi matokeo yake ita Control wewe ! Huyu Jamaa Alinawa na Kamera za Udaku Specially Katika Baa Moja Maarufu Mitaa ya Sinza , Inasemekana Alikuwa na Wenzake wanakunywa Baada ya Kupata Bia Mbili tu zikampanda Kichwani na Kuanza kuweka Mapozi ya Ajabu Ajabu na Mwisho Kuvua nguo na kuweka Mapozi ya Kimiss Watu Wampige Picha, Wenzake kuona Hivyo Wakamkimbia na Kumwacha Mchizi akiabika Kiaina.

Vidonge vya Viagra vyamuua Tajiri Ndani ya Gesti huko Jijini Arusha


Tajiri mmoja aitwaye Metili amekutwa amefariki akiwa gesti ya Diamond huko Arusha leo, chanzo kikidaiwa kumeza vidonge vya Viagra.
viagra

Vikosi vya Iraq vyawakabili wapiganaji.




Wapiganaji wa kikurdi
Jeshi la Iraq likishirikiana na wanamgambo wa madhehebu ya ki-shia pamoja na wapiganaji wa ki-kurdi limeanzisha mashambulizi makali ili kujaribu kuwakabilia wapiganaji wa Islamic state ambao wameuzunguka mji wa Amerli.
Wakati huohuo idara ya ulinzi nchini Marekani imesema kuwa ndege za kijeshi za marekani imeangusha misaa ya kibinaadamu katika mji wa Amali uliozungukwa na islamic state.
Maelfu ya watu wamekwama katika mji huo kwa takriban miezi miwili ijapokuwa imebainika kwamba idadi hiyo huenda ikawa ndogo ya inavyokadiriwa.
Duru kutoka mji wa Tuz Khormutu zimeiambia BBC kwamba vikosi vya muungano vinashambulia kutoka kusini na kazkazini.
Ndege ya kijeshi ya marekani
Zimesema kuwa ndege za wanajeshi wa Iraq zinasaidia katika oparesheni hiyo na kukana kwamba ndege za marekani zinahusika.
Zimeongezea kuwa oparesheni hiyo hailengi kuwaondoa wapiganaji hao pekee bali pia inajaribu kuifungua barabara kuu kati ya Baghdad na kazkazini mwa taifa hilo.
Wakati huohuo wanajeshi wa Marekani wametekeleza mashambulizi zaidi ya angani dhidi ya wapiganaji wa Islamic state karibu na bwawa la Mosul kazkazini mwa Iraq.
Idara ya Ulinzi nchini Marekani Pentagon imesema kuwa ndege za kijeshi pamoja na zile zisizokuwa na rubani ziliharibu magari saba ya kivita yanayotumiwa na wapiganaji wa Islamic State.
Imesema kuwa oparesheni hiyo ni ya kuwaunga mkono wanajeshi wa Iraq na wapiganaji wa kikurdi.

MTANGAZAJI LA CLOUDS FM (LOVENESS DIVA) AVUJISHA MESSAGE ZA ZITTO KABWE AKIMTONGOZA: HIZI HAPA


Ukishangaa ya musa utayaona ya firauni, hivi karibuni baada ya zitto kumkana Diva mtangazaji wa alla za roho wa clouds FM, Kuwa hajawahi kuwa naye kimapenzi na Diva amekuwa akijitangaza sana amekuwa naye kimapenzi, sasa Diva kamuanika hadarani ona hapo chini, ila duu huyu mwanamke ni kiboko,salaleeeeee


PICHA ZA UTAMU ZA IRENE UWOYA........KuPIGA KAANIKA KILA KITU. INGIA HAPA



http://yamotto.blogspot.com/2014/08/picha-za-utamu-za-irene-uwoyakupiga.html
Kwa kweli hizi picha hazifai kuonwa lakin yeye ndo kaamu kuzipiga na kuziweka mtandaoni, Jiandae kisaikolojia then ingia hapa kwenye hizo picha 5, la sivyo utawehuka 
18+ ZINGINE BOFYA HAPO CHINI

Inasikitisha: Mama amefariki baada tu ya kujifungua hawa Mapacha watatu.





1‘Ni kweli tumepokea Watoto watatu ambao ni wachanga wakiwa na kilo 1.7 na 1.8 kutokea Misungwi, mama yao alifariki muda mfupi tu baada ya kujifungua hukohuko Misungwi na chanzo ni maamuzi yake ya kukataa kupewa matibabu yanayohitajika ambayo ni kufanyiwa Opareshen’
‘Aliweka saini kabisa ya kukataa kufanyiwa opareshen ili ajifungue kwa kutumia njia hiyo hivyo ikabidi ajifungue kwa njia ya kawaida ambayo ilimfanya atokwe na damu nyingi sana na ndicho kilichosababisha kifo chake’ hizi ni sentensi za mwanzo kutoka kwa Dr. Baraka Malegesi wa hospitali ya Bugando ambao ndio imewahifadhi hawa watoto kwa sasa.
Akihojiwa na millardayo.com Dr. Malegesi ameendelea kusema ‘tumewapokea watoto na bado tuko nao hapa tunawahudumia vizuri wako na mama yao mdogo lakini hali ni ngumu kwa sababu maisha ni magumu kwake na tumejitolea hospitali kuwapa maziwa lakini gharama ni kubwa kwa sababu wiki ni zaidi ya elfu 70 kuwahudumia sasa katika kipato cha chini ndugu zake hawana uwezo’
Daktari huyu amesema kama kuna Mtanzania yeyote anaguswa kusaidia watoto hawa kwa fedha yoyote ile hata ya kutuma kwa M-Pesa, anaweza kufanya hivyo wakati wowote kwa kumtumia mama mdogo wa huyu mtoto ambae namba yake ni 0767 443112 anaitwa Regina Masalaisengwa.

2Inawezekana kabisa una uwezo wa kuwasaidia kiasi chochote kile cha fedha ulichonacho kuwafanya Malaika hawa waishi vizuri kwani mama yao mdogo hana uwezo kabisa wa kuwalea, kama umeguswa tuma chochote kwenye hiyo namba ya M-Pesa hapo juu

Mapya kuhusu mtoto wa Jackie Chan aliyekamatwa na dawa za kulevya



Mtoto wa Jackie Chan ambaye pia ni muigizaji wa filamu za mapigano, Jaycee Chan anaendelea kushikiliwa na polisi nchini China kwa kosa la kukutwa na dawa za kulevya.
Kwa mujibu wa polisi wa Beijing, Jaycee alikamatwa akiwa na muigizaji mwenzake wa Taiwan, Kai Ko na kwamba baada ya kupimwa waligundulika kuwa walikuwa wametumia dawa za kulevya aina ya marijuana.
Jaycee na Kai Ko wamekiri kutumia dawa hizo na kueleza kuwa grams 100 za dawa hizo zilipelekwa nyumbani kwa Jaycee (mtoto wa Jackie Chan).
Baada ya kushikiliwa kwa wiki mbili (tangu August 14), Kai Ko ameachiwa Ijumaa iliyopita na anasubiri taratibu zaidi za kisheria huku Jaycee akiendelea kusota rumande.
Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Beijing, waandishi wa habari walimfuata Kai Ko hadi kwenye hotel aliyofikia lakini hakuonesha ushirikiano na alijaribu kumpiga mwandishi mmoja kabla hajaingia kwenye lift na kutokomea.
Baada ya kukamatwa na dawa hizo, Jackie Chan aliomba radhi umma kwa niaba ya mwanae na familia yao kwa ujumla alimtaka mwanae kuelewa kuwa amefanya makosa na anapaswa kukutana na matokeo yake.

Jumamosi, 30 Agosti 2014

LAANA....!! PICHAZ CHAFUZ ZA UTUPUZ ZA SUGAR MUMMYZ ZASAMBAZWA MTANDAONI NA MPENZI WAKE...ZICHEKI HAPA..

BOFYA HAPO CHINI KUZIONA PICHA ZA CHAFU ZA MDADA HUYO, NI KWA WAKUBWA TU...


<>

Majambazi Watano Wauawa kwa Kuzamishwa kwenye Maji



Watu watano wanaosadikiwa kuwa majambazi, wamepigwa kwa mawe hadi kufa wakijaribu kutoroka nguvu za umma kwa kutumia Mto Mara, wilayani Tarime huku wakiwa na bunduki mbili zinazotumika vitani aina ya sub machine gun (SMG). 
 
Tukio hilo lilithibitishwa na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya, Lazaro Mambosasa. 
 
Kamanda Mambosasa alisema watu waliouawa katika tukio hilo la juzi mchana hawajafahamika kwa majina wala uraia wao.
Hata hivyo alisema siku ya tukio, majambazi hao wakiwa na silaha za kivita, walionekana wamejificha vichakani karibu na makazi ya wananchi wa kitongoji cha Nyabirongo, kijiji cha Gibaso katika Kata ya Nyarukoba, Tarafa ya Ingwe iliyopo jirani na hifadhi ya Serengeti. 
 
Lakini baada ya kushitukiwa, walizingirwa na wananchi wenye silaha za jadi zikiwemo mawe, marungu na mapanga huku wakipiga mayowe ambapo majambazi hao walijibu kwa kurusha risasi hovyo ili wananchi wasiwakaribie. 
 
Wakati wakirusha risasi hizo zilimjeruhi mwananchi mmoja, Kagore Paul begani, na kuwaongezea hasira wananchi walioendelea kuwasakama katika eneo walilojificha. 
 
Mayowe waliyopiga yaliwaleta watu wengi zaidi muda ulivyokuwa unakwenda kiasi cha majambazi hao kuzidiwa na  kuamua kukimbia kwa kupitia Mto Mara, ili waende upande wa pili wa wilaya ya Serengeti. 
 
Kamanda anasema: “Wakazi wa kijiji hicho na vijiji jirani walijitokeza kwa wingi kwani ilikuwa mchana na kupambana na watu hao huku wakikimbilia mto Mara kutaka kuvuka mto huo  kwenda  wilaya ya Serengeti kuingia mbugani, lakini juhudi zao za kutaka kuvuka hazikifanikiwa. 
 
Bastola iliyotumika katika shambulizi hilo. Picha na Sammy Kimatu wa Daily Nation.
Bastola
“Wananchi wa vijiji vya upande wa pili Wilaya ya Serengeti nao walijitokeza na kuziba njia hali iliyowalazimu watuhumiwa kuingia mtoni na kutaka kuogelea huku wakitupa silaha walizokuwa nazo majini  na hapo ndipo walipopigwa mawe na marungu wakiwa majini na kufa. 
 
“Jeshi letu la Polisi lilifika na kusaidia kuopoa miili ya watu hao watano ambapo mmoja alikutwa na risasi 11 mfukoni na mwingine alikutwa na risasi nne na fedha za Kenya Sh 350 (sawa na fedha za Tanzania sh 7,000) ambapo inasadikiwa huenda watuhumiwa wakawa raia wa nchi jirani ya Kenya.” 
 
Kwa sasa, miili ya watu hao imehifadhiwa katika chumba cha maiti cha Hospitali ya Wilaya Tarime huku jeshi la polisi likiendelea na uchunguzi juu ya tukio hilo. 
 
Naye Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya Tarime, Dk Bernard Makonyu amethibitisha kupokea miili ya watu watano iliyofikishwa hospitali hapo na gari la polisi huku matumbo ya marehemu yakionekana kuvimba kutokana na kunywa maji mengi kabla ya kufikwa na mauti. 
 
Hilo ni tukio la pili katika kipindi cha wiki tatu ambapo Agosti 3 mwaka huu watu wanne, wakiwemo raia watatu wa Kenya na Mtanzania mmoja waliuawa kutokana na matukio ya ujambazi katika kijiji cha Mriba.

Rais Kikwete kukutana na UKAWA Leo Jioni mkoani Dodoma


Wakati Rais Jakaya Kikwete akikutana na viongozi wa vyama vya siasa vinavyounda Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) ili kuzungumzia mchakato wa Katiba, Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF), limesema amani ya nchi iko mikononi mwa kiongozi huyo mkuu wa nchi. 
Kwa maana hiyo viongozi wa vyama vya siasa hasa vile vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wanatarajiwa kusafiri hadi Dodoma kumfuata Rais Kikwete ambaye leo anaingia katika siku ya tatu ya ziara yake mkoani hapa, iliyoanza juzi katika Wilaya ya Kongwa.
Baadhi ya viongozi ambao wanatarajiwa kushiriki mkutano huo ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba na Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia.
 Pia katika orodha hiyo wamo Mwenyekiti wa TCD ambaye pia ni Mwenyekiti wa UDP, John Cheyo, Mwenyekiti wa TLP, Augustine Mrema na mwakilishi wa vyama visivyo na wabunge ndani ya TCD ambaye pia ni Mwenyekiti wa UPDP, Fahmi Dovutwa. Ukiondoa Kinana, viongozi wengine ni wajumbe wa Bunge Maalumu.

kikwete
 Habari zilizopatikana juzi na jana Dar es Salaam na Dodoma na kuthibitishwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Ikulu, Salva Rweyemamu zinasema mkutano huo umepangwa kufanyika leo jioni baada ya Rais Kikwete kuhitimisha ziara yake katika Wilaya ya Chamwino na unaweza kuendelea hadi usiku kutokana na jinsi ratiba ilivyokaa.
 “Mkutano utafanyika hapa Dodoma katika muda wa saa 48 kuanzia sasa na Rais hatakutana na Ukawa kama ambavyo imekuwa ikidaiwa, anakutana na viongozi wa vyama vya siasa,” alisema Rweyemamu jana mchana.
 Mwanzoni mwa wiki hii, Cheyo aliwaambia waandishi wa habari mjini Dodoma kuwa Rais Kikwete alikuwa amekubali kukutana na viongozi wa vyama vya siasa wiki hii ili kuzungumzia mustakabali wa Katiba. Hata hivyo, alipoulizwa jana siku ya mkutano pamoja na mahali utakapofanyika, Cheyo hakuwa tayari kuzungumza chochote.
 Mkutano huo wa Rais na viongozi hao umekuja wakati ambao kamati za Bunge Maalumu zimekamilisha uchambuzi wa Rasimu ya Katiba, bila kuwapo kwa wenzao wanaokaribia 120 ambao walisusia mchakato huo tangu Aprili 16, kutokana na kile walichodai kuwa ni kutoridhishwa na mambo yanavyokwenda.
 Mara kadhaa Ukawa wamesisitiza kwamba kamwe hawatarejea bungeni hadi pale masharti yao yatakapotekelezwa na CCM kikishikilia msimamo wake kwamba masuala yote yanayohusu Katiba Mpya lazima yatatuliwe ndani ya Bunge.

Kwa kuzingatia mazingira hayo ni dhahiri kwamba matokeo ya kikao hicho yanasubiriwa kwa shauku kubwa kwani yanaweza kusaidia kukwamua mchakato wa Katiba ambao umekosa uhalali wa kisiasa kutokana na Ukawa kuususia.
Mzigo wa amani
Wakati hayo yakiendelea Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF) limetoa tamko kali kuhusu mchakato wa Katiba, na likiweka bayana kwamba ni Rais Kikwete pekee ambaye anaweza kukwamua suala hilo.
 Jukwaa hilo linajumuisha taasisi kubwa za madhehebu ya Kikristo ambazo ni Baraza la Maaskofu Katoliki nchini (TEC), Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT) na Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA.)
“Tunakuomba Mheshimiwa Rais kwamba amani ya nchi yetu sasa imo mikononi mwako hasa katika kipindi hiki cha kuandikwa kwa Katiba Mpya,” inasomeka sehemu ya tamko hilo lenye kurasa nne na kuongeza: “Tunakuomba uahirishe mchakato unaoendelea ili uepushe ishara za aina mbalimbali za kuanzisha sintofahamu nchini mwetu na hali yoyote inayoweza kuathiri vibaya mshikamano, umoja na amani ya taifa letu.”  

 Tamko hilo ni matokeo ya mkutano wa siku mbili uliofanyika Agosti 27 na 28, 2014 jijini Dar es Salaam ambako TCF pia walimnyooshea kidole Mwenyekiti wa Bunge Maalumu, Samuel Sitta kwamba amekuwa akiendesha Bunge hilo kwa ubabe akijivunia wingi wa wajumbe kutoka CCM.
 “Maoni ya wananchi hayawezi kufutwa na kudharauliwa na chama tawala. Hivyo basi, Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea lijadili na kuboresha tu maoni yaliyomo katika Rasimu ya Katiba na siyo kufanya mabadiliko katika Katiba ya mwaka 1977,” inasomeka sehemu nyingine ya tamko hilo.
 TCF inapendekeza kusimamishwa kwa mchakato wa Katiba ili kupisha majadiliano, maelewano na maridhiano yatakayowezesha kurekebishwa kwa Katiba ya sasa kwa lengo la kujenga mazingira bora ya Uchaguzi Mkuu ujao na ule wa Serikali za Mitaa.
Lilisema wakati Bunge hilo likiwa limesimamishwa, Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ifanyiwe marekebisho ili kumbana Rais ajaye kuendelea na mchakato huo baada ya kuwa maridhiano yamepatikana.
 “…Baada ya Bunge Maalumu la Katiba kuanza shughuli zake tena, Mwenyekiti wa Bunge hilo afanye kazi kwa mujibu wa kanuni na Sheria ya Mabadiliko ya Katiba badala ya kutumia ubabe na kiburi cha wingi wa wajumbe wa CCM katika Bunge hilo,” inasomeka sehemu nyingine ya tamko.
Tupe maoni yako hapo Chini..!!

Babu wa Miaka 90 ateketea kwa moto Akiwa Usingizini

Mkazi wa Kimara Temboni, Felix Makundi (90) amekufa papo hapo baada ya kuteketea kwa moto wakati akiwa amelala. 
 
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alisema kuwa mzee huyo aliteketea juzi baada ya moto kuzuka katika nyumba yenye vyumba vitatu mali ya Benson Makundi na kumuunguza mzee huyo mwili mzima hadi kufa pamoja na kuteketeza mali zote zilizokuwamo ndani. 
 
Alisema wakati moto huo unatokea, mwenye nyumba hakuwepo na hadi sasa chanzo cha moto huo hakijafahamika. Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Tumbi Kibaha huku Polisi wakiendelea na upelelezi wa tukio hilo. 
 
Wakati huo huo, fundi umeme wa kampuni ya Catic, Omari Mkula (35), amekufa papo hapo baada ya kudondoka kutoka ghorofa ya nne wakati akiendelea na ujenzi. 
moto
 
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya wa Kihenya alisema kuwa fundi huyo alikufa juzi mchana katika eneo la Tuangoma, Temeke katika Mradi wa NSSF baada ya kudondoka kutoka ghorofa ya nne baada ya kamba ya winchi kukatika. 
 
Kamanda Kihenya alisema mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali ya Temeke kwa uchunguzi zaidi.

Ajali Yaua Watu 10 na kujeruhi 7 Mbalizi mkoani Mbeya



 WATU kumi wakiwemo watoto wawili wamefariki dunia papo hapo na wengine saba wamejeruhiwa vibaya katika ajali iliyohusisha magari mawili.
Ajali hiyo imetokea jana majira ya saa nne asubuhi ikihusisha gari ndogo ya abiria maarufu kama daladala lenye namba za usajili T 237 BFB aina ya Toyota Hiace  na gari kubwa aina ya Fuso lenye namba za usajili T 158 CSV.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo wamesema ajali hiyo ilitokea maeneo ya Mbalizi baada ya Hiace iliyokuwa ikitokea Mbeya mjini kuelekea Mbalizi kulivaa lori lililokuwa likiingia barabarani.
Walisema inasemekana dereva wa Hiace gari yake ilimshinda kutokana na kutelemka mlima mkali wa Mbalizi ingawa pia walimtupia lawama dereva wa lori ambaye alikuwa akiingia barabarani bila kuchukua tahadhari.

Daladala lenye namba za usajili T 237 BFB aina Toyota Hiace baada ya kuparamia lori.
Lori lenye namba za usajili T 158 CSV lililoparamiwa na daladala.
Askari wa usalama wa barabarani akiwa anatazama na kuchunguza zaidi ajali hiyo.
Eneo ambalo daladala hiyo iliyofumuka.
Viti vikiwa vimeharibika baada ya ajali kutokea.
Lori hilo baada ya ajali.
Hivi ndivyo daladala hiyo iliyokuwa ikitoka Mwanjelwa kuja Mbalizi ilivyoharibika baada ya ajali hiyo.
Mashuhuda wakiwa wameizunguka daladala hiyo kushuhudia kllichotokea.
 Hapa ndipo eneo ambapo ajali imetokea, askari wa usalama barabarani wakiendelea kufuatilia ajali hiyo.
 Ilikuwa ni ajali mbaya.
Mashuhuda.
 
Muuguzi Mkuu wa Hospitali Teule ya Ifisi, Mbalizi, Sikitu Mbilinyi, ambako majeruhi na marehemu walikimbizwa hapo alithibitisha kupokea majeruhi 7 ambapo alisema kati yao ni wanawake 3 na wanaume 4.
Alisema kati ya majeruhi hao wawili wamepewa rufaa kwenda Hospitali ya Rufaa Mbeya kutokana na kuhitaji msaada zaidi huku wengine wakiendelea kupatiwa msaada wa haraka ili kunusuru hali zao.
Mbilinyi aliongeza kuwa pia wamepokea miili ya marehemu 10 wakiwemo watoto wawili na wanawake wanne na wanaume wanne.
Hata hivyo majina ya majeruhi na marehemu hayajaweza kupatikana mara moja kutokana na kuwa katika hali mbaya ambapo dereva wa lori alitokomea mara baada ya tukio.

Alhamisi, 28 Agosti 2014

Mengine machache kutoka kwa Ali Kiba






Ni msanii ambae wengi sasa hivi wanapenda kusikia kutoka kwake sababu kwa zaidi ya miaka mitatu aliyokua kimya, hakufanya interview na chombo chochote cha habari wala kuonekana ovyo.

Baada ya kurudi kwa kuachia nyimbo mbili mfululizo kwenye Radio, Ali Kiba ameanza kuchukua headlines bongoflevani.

23 August Ali amepiga show yake ya pili toka ukimya wa miaka mitatu ambayo ameipiga Tanga kwenye uwanja wa mpira uliokua umejaa maelfu ya watu kwenye tamasha la Fiesta.

Baada tu ya kuifanya hii show aliposhuka backstage, Ali alisema anashukuru Mungu watu wamempokea vizuri kuanzia show ya kwanza aliyoifanya uwanja wa taifa Dar es Salaam na kwamba video zake mbili zinaweza kutoka mwishoni mwa mwezi huu.

Anasema show yake ya mwisho kuifanya ilikua 2012 ambapo kwenye sentensi nyingine Ali ameahidi huu ni mwendo wa kutopumzika yani, hatopumzika tena kutoa nyimbo hivyo wimbo wake mwingine mpya anaweza kuutoa November mwaka huu.

Itazame aina nyingine ya fiesta, yaani Runway Fiesta kila siku ya wiki katika Spice TV, channel 192 saa 11:00 CAT.

Jumatano, 27 Agosti 2014

UKATILI! Mtoto wa miaka 9 abakwa, Auawa



MATUKIO ya ukatili dhidi ya watoto yameendelea kujitokeza mkoani Shinyanga ambapo mtoto wa miaka 9 ambae ni mwanafunzi wa darasa la tatu katika skuli ya msingi Negezi iliyopo kata ya Ndala manispaa ya Shinyanga, ameuawa kwa kubakwa kisha kutobolewa macho.
 
Tukio hilo limetokea Agosti 25 mwaka huu saa saba mchana katika kitongoji cha Kashampa kijiji cha Nhelegani kata ya Kizumbi tarafa ya Shinyanga mjini, ambapo mtoto huyo alikutwa kwenye kichaka vilivyo karibu na shamba la Mwandu Misona.
 
alioshuhudia tukio hilo walisema mtoto huyo alikutwa akiwa amefariki dunia huku mwili wake ukiwa umetobolewa sehemu mbali mbali.
Akielezea zaidi kuhusu tukio hilo baba mazazi wa mtoto huyo Kashindye Mayala alisema mwanawe alikuwa anaishi na shangazi yake Mahegi Mayala na aliaga kwenda kunyoa nywele saluni majira ya saa tisa alasiri siku ya Jumapili na baada ya hapo hakurudi tena nyumbani.
 
Alisema siku ya Jumatatu walipata taarifa kuwa kuna mtoto ametupwa vichakani karibu na shamba la Mwandu Misona na walipofika eneo la tukio hawakumkuta mtoto huyo na kudaiwa kuwa amepelekwa na wasamaria wema hospitali ya mkoa wa Shinyanga.
UKATILI
Alisema kufuatia taarifa hizo aliamua kuufuatilia mwili huo hospitalini hapo,ili kubaini kama ni mtoto wake na alipofika chumba cha kuhifadhia maiti alibaini mwili huo kuwa ni wa mtoto wake.
 
Kaimu Mganga Mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Shinyanga, Dk. Daniel Maguja, alisema waliupokea mwili wa mtoto huyo Agosti 25, mwaka huu majira ya saa 10:30 jioni na kuongeza kuwa vipimo vilionesha mtoto huyo alibakwa na kutobolewa.
Kamanda wa polisi mkoani, Shinyanga SACP Justus Kamugisha, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuongeza kuwa chanzo kinachunguzwa ili kuwabaini wahusika.

EBOLA yazua balaa Nigeria…Shule zote zafungwa

Shule zote nchini Nigeria zilizokuwa zianze muhula mpya jumatatu zimeagizwa kuahirisha siku ya kufungua muhula hadi oktoba tarehe 13 kama moja wapo ya njia za kuzuia kuenea kwa viusi vya Ebola.
Waziri wa elimu aliamuru zisifunguliwe ili kuwapa walimu mafunzo jinsi ya kushughulikia ugonjwa huo.
Watu watano wamekufa kufuatia mambukizi ya homa ya ebola nchini Nigeria .
 
Takwimu za maambukizi ya Ebola
Ugonjwa huu uliozuka Magharibi mwa Afrika hasa Guinea, Liberia na Sierra Leone umewauwa zaidi ya watu 1,400 .
Huu ndio uzukaji mkubwa zaidi ambapo watu 2615 wanakadiria kuambukizwa na angalau nusu yao kuaga dunia.
Virusi hivi vinaenezwa kwa wanadamu kupitia maji maji ya mwili .
 
Takwimu za maambukizi ya Ebola
Ugonjwa huuu hauna tiba, ila kwa kuangaliwa vyema bila shaka mtu anaweza kuishi zaidi.
Ulienea Nigeria nchi iliyo na watu wengi zaidi mwezi Julai baada ya mtu aliyekuwa na virusi kutua nchini humo kutoka Liberia.
Serikali ya Nigeria inatarajia kukomesha kuenea zaidi kwa ugonjwa huu kwani sasa ni mtu mmoja tu aliye na ugonjwa huo wa ebola .
Waziri wa elimu Ibrahim Shekarau amesema Inatarajiwa angalau wafanyikazi wawili kila shule katika zile za umma na za kibinafsi watapata mafunzo maalum ya ugonjwa huu kufikia septemba 15 jinsi ya kupambana na visa vinavyoshukiwa kuwa vya Ebola
 Madaktari wengi wameambukizwa Ebola.
Shirika la Afya duniani WHO lilisemakuwa mlipuko huu wa ugonjwa wa Ebola imewaambukiza madaktari wengi sana.
WHO ilitoa taarifa ambayo ilionesha kuwa zaidi ya watu 2600 Guinea ,Liberia,Nigeria na Sierra Leone wameugua ugonjwa huu ulioanza mei pamoja na wafanyakazi wa huduma za afya 240.
school
Maambukizi kwa wafanyi kazi wa afya yanatokana na uhaba wa vifaa vya kujipinga na wafanyikazi kwani daktari mmoja anawahudumia wagonjwa 100,000 katika nchi zingine.
WHO ilisema kuendelea kwa madaktari kuambukizwa virusi kunapelekea juhudi za kuzuia ugonjwa huu kudidimia kwani hospitali zingine zimeanza kufungwa.
 
Ebola ilivyoenea Afrika
Ebola imewauwa madaktari wa kutajika Sierra Leone na Liberia na kupokonya nchi hizi si tu madaktari wenye uzoefu na wanaojitolea bali waliotaka kuwa mashujaa.
Mkuu wa afya wa amarekani aliyezuru nchizilizoambukizwa zaidi Liberia, Sierra Leone na Guinea alisema virusi hivyo vilionekana kutawala ingawa wataalamu walikuwa na namna ya kuukomesha.
Daktari Tom Frieden mkurugenzi wa Vituo vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Marekni alisema kuwa Ingawa virusi hivi vinaenea,Juhudi nyingi zinafanywa na kutapatikana ruzuku karibuni.

Hivi ndivyo Ali Kiba Alivyopagawisha Serengeti Fiesta Tanga



Gwiji la muziki wa kizazi kipya, Alikiba, alitoa burudani   ya  nguvu kwa Wanatanga kwa wimbo wake mpya-Mwana Dar es salaam- usiku wa Serengeti Fiesta Tanga, katika viwanja vya Mkwakwani jinjini Tanga, hali  iliyomfanya  alazimishwe  na  mashabiki  hao  kuurudia  wimbo  huo  mara  10  zaidi.
Akiwa jukwaani, Alikiba alilazimika kuuruduia wimbo huo kwa zaidi ya mara 10  kwani pindi alipoonyesha dalili ya kumaliza kuimba, mashabiki zake walipiga kelele kuomba arudie kwa mara nyingine.
kiba
Alikiba ameahidi makubwa zaidi jumamosi hii, Serengeti Fiesta Moshi.
 
 

Baada ya kutemwa na Bosi wake BABY MADAHA Ajipumzisha kwa Msanii WYRE



MWANADADA  anayefanya vizuri katika muziki Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ kwa sasa amejiweka kimapenzi na msanii anayetamba Kenya, Kevin Wyre baada ya kuwepo kwa tetesi za kutemana na mtu wake wa awali, Joe Kairuki aliyekuwa pia ni meneja wake.
WYRE
Watu walio karibu na wawili hao wanasema uhusiano huo unafanywa kwa siri ili usivuje na kwamba kwa  sasa pia wanafanya kazi ya pamoja itakayokuwa hewani wakati wowote muda mfupi ujao.

Alipoulizwa juu ya ishu hiyo, Baby Madaha alitiririka: “Mimi nina uhuru wa kufanya chochote ninachojisikia na hakuna mtu atakayeweza kuniingilia katika maisha yangu wala uhusiano wangu kwa sababu sigongi kwa mtu kuomba msaada.”

UKATILI! Msicha wa kazi achomwa moto sehemu zake za siri kisa Kakojoa kitandani



Habari  kutoka  mkoani  Arusha  zinaarufu  kuwa  msichana  mmoja  wa  kazi ( hausigeli)  ameungua  na  kuharibika  vibaya  sehemu  zake  za  siri  baada  ya  kuchomwa  moto  na  bosi  wake….
uchi2UKA
 
Kwa  mujibu  wa  mtu  aliyetutumia  picha  za  tukio  hilo, Binti  huyo  anadaiwa  kuchomwa  moto  baada  ya  kukojoa  kitandani  usiku  akiwa  amelala.
uchi1
Tunaendelea  kuangaza undani  wa  tukio  hili.

Flora Mbasha: Nina Mimba ya Mbasha sio Gwajima


Muimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania ambae pia ni Mke wa Emmanuel Mbasha amefunguka na kusema kuwa hana mahusiano yoyote ya kimapenzi na na Mchungaji wa Kanisa la kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima…
 
Flora amesema hayo leo alipokuwa akichat Live kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV katika kipengele cha Kikaangoni Live kinachofanyika kila siku ya Jumatano kuanzia saa Sita kamili. Flora amesema kuwa hawezi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu ambae ni ndugu yake hivyo Mchungaji Gwajima ni mjomba wake na si mpenzi wake kama ambavyo watu wamekuwa wakizusha kwa lengo la kumchafua na kumshushia hadhi.

“Hayo ni maneno tu ya watu mtaani ila Mchungaji Gwajima ni mtumishi wa Mungu na ni uncle wangu ninawezaje kuwa na mahusiano na uncle wangu..? “ Alihoji Flora wakati akijibu  maswali ya mashabiki ambayo mengi yao yalikuwa yakimtuhumu na huku watu wengi wakitaka kujua ukweli juu ya ugomvi uliopo kati yake na Mumewe kama ni kweli au ni skendo tu za magazeti..

Flora aliweka wazi kuwa kuna vyombo vya habari ambavyo vimekuwa na lengo la kumchafua na kumharibia sifa ndio maana walitumia gharama kubwa kufanya wanavyoweza ili kutimiza malengo yao.Amedai kuwa alimua kukaa kimya kwa kuwa hakukuwa na ukweli wowote.
MBASHA akiwa na Mkewe FLORA
MBASHA akiwa na Mkewe FLORA

“Hizo stori mnazosikia hazina ukweli wowote na ndio maana niliamua kukaa kimya, sikutaka kujibizana kwenye vyombo vya habari kwa uongo wa baadhi ya magazeti ya udaku ila ninasikitika sana kwani kuna watu wamekaa na kujipanga kisawa sawa kwa ajili ya kuhakikisha wanaharibu huduma yangu kwa gharama zozote…

“Lakini bado ninasonga mbele kwani mwanzilishi wa huduma yangu ni Mungu na huyo ndiye atakayeimaliza na sio mwanadamu. Hata hivyo ninawashukuru kwa kuwa wamenitabilia ntakuja kumiliki jumba na magari ya kifahari ingawa yote ni ubatili”


SIJAACHANA NA MBASHA KISA GWAJIMA

Flora Mbasha amesema kuwa watu wengi wanasema kuwa ameachana na Mumewe kisa Gwajima hilo swala halina ukweli wowote, hajaachana na Mbasha sababu ya Gwajima na amedai kuwa bado anampenda sana ila anampenda Mungu zaidi.

Amekiri kuwa na matatizo katika ndoa yake kati yake na mumewe lakini akasema kuwa  hayo ni matatizo yao ya ndani, hivyo asingependa kuyaweka wazi katika vyombo vya habari maana kufanya hivyo ni sawa na kumvunjia heshima mumewe maana mambo ya chumbani ni siri yao wenyewe.
Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima,
Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima,

 
“Sijamwacha mume wangu sababu ya Gwajima na kweli bado napenda sana Mbasha lakini nampenda zaidi Mungu”
Wakati anazungumzia suala hili Flora ameweka wazi kuwa kwa sasa ni mjamzito na ujauzito huo ni wa Mume wake ambae ni Emmanuel Mbasha maana ameishi nae katika ndoa zaidi ya miaka kumi na katika kipindi chote hicho hajawahi hata siku moja kumsaliti Mumewe na kwenda kwenye michepuko hivyo huo ujauzito ni wa Mume wake Emmanuel Mbasha na siyo Gwajima.