.

Jumanne, 15 Oktoba 2013

Rapper Kala Jeremiah sasa ni balozi wa Pepsi, asaini mkataba mnono haujawahi kutokea kwake


Leo hii Rapper Kala Jeremiah amesaini mkataba na kampuni SBC kupitia kinywaji chake cha Pepsi na kutangazwa rasmi kuwa balozi wa Pepsi nchini, na yuko tayari kwa ajili ya kuanza kufanya kazi za kibalozi kuanzia time hii.
 namshukuru sana mungu, lakini nawashukuru sana mashabiki wangu, kwasababu bila wao nisingeweza kuchaguliwa kuwa balozi, wale watu huwa wanaangali unakubalikaje kwenye jamii lakini unajiheshimu vipi katika jamii, nashukuru pia vyombo vya habari kwa kunipigania mpaka kujulikana kwenye makampuni makubwa kama hayo.
Kala alikataa kuzungumzia mtonyo alioupata kutokana na mkaba huo na kusema kuwa hawezi kutaja na itabaki kuwa siri yake, ila hajawahi kusaini mkataba mnono kama huu ni kwa mara ya kwanza kusani mkataba mnono kama huo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni