.

Ijumaa, 11 Oktoba 2013

"NINA MIAKA 26 LAKINI NIMESHINDWA KUACHA PUNYETO, NIFANYEJE?"... NAOMBENI USHAURI

Mimi ni kijana wa miaka 26 ninaandika hivi kwa sababu nimeamua kuomba mawazo kwa wa wanajamii, kwa ukweli na uwazi mimi ni mtu ambaye nimekuwa na tabia ya kupiga punyeto kwa muda mrefu hili tatizo lilianza kipindi fulani nipokuwa mkoa fulani hapa Tanzania, Nlikuwa na rafiki yangu mmoja na mpaka sasa bado ni rafiki yangu ni mtu mzima na ameoa pia ana watoto yeye ni mfanya biashara ya kununua na kuuuza madini. Alipokuwa akitoka porini kama amechelewa anapita geto kwangu tunalaa sasa tukaanzisha mchezo wa kushikana sehemu zetu za siri mpaka tunamaliza kitu tunachotaka japo hatuingiliani. Tuliendelea na mchezo huo kwa muda mrefu kwa sababu imekuwa mazoea

 
Sasa tatizo langu liko hivi mimi kwa sasa niko nje kidogo na nchi yangu na yeye yuko na kazi zake za porini na akienda huchukua muda mrefu kurudi na mimi kulingana na mazoea inaniathiri kwa sababu kila ninapokumbuka ule mchezo namaliza nikiwa mwenyewe yaani yeye amekuwa kwenye kumbukumbu ya akilii yangu kwa sababu kuna siku tulifanya ule mchezo mpaka nikaona nimefika kileleni tofauti na wanawake niofanya nao mapenzi hakuna aliyetomasa mpaka nifikie hivyo. Na hii imenipelekea kila mwanaume ninayemwona kama ana umbo sawa na rafiki yangu natamani kufanya nae ule mchezo kitu ambacho kinakuwa ni ngumu. Na kila siku najaribu kujizuia kufanya huu mchezo ninashindwa sijui nitumie njia gani ili kuepukana na hili tatizo hili kubwa linalonisumbua.
  Mtete Focus Blog

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni