.

Jumatatu, 30 Desemba 2013

Hii ndo Rasimu ya Pili ya Katiba mpya iliyokabidhiwa kwa Rais Kikwete leo...Pata fusa ya Kuisoma haapa...!!


Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Warioba akimkabidhi Rais Jakaya Kikwete (kulia) Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya leo.
 ** Hii  ndo  Rasimu  ya  Pili  ya  Katiba  mpya  iliyokabidhiwa  kwa  Rais  Kikwete  leo...Nimejitahidi  kuikuza  ili  iweze  kusomeka  vizuri....



Rasimu  hii  ni  ndefu  kidogo, ina  ibara  271  ikilinganishwa  na  ile  ya  kwanza  ambayo  ilikuwa  na  ibara  240...



Rasimu  iko  hapo  chini, ukipabofya  itafunguka  kwenye  tab  mpya  ili  uweze  kuisoma  vizuri....Upande  wa  juu  kushoto  kuna  option  ya  kui download....
<< RASIMU YA  PILI, BOFYA  HAPA>>
Bofya  hapo  juu  uisome  rasimu  ya  pili  ya  katiba

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni