.

Jumanne, 31 Desemba 2013

HAYA NDO MATUKIO YALIYOSISIMUA 2013 ..... KUWAHUSU DIAMOND, WEMA, MANDELA NA WENGINE WENGI

hizi mtu tatu ziwache 
Tanzania ilizizima ulikuwa ni msiba mkubwa sana
RIP Ngweah
Bosslady wa Tanzania kukamatwa
na sembe Macau
kila mtu anasema lake
FineAssGirl kukamatwa na sembe SA
na kwakipindi kifupi kuachiwa
huru na kurudi home salama salmin
wengi limewakera ila wamesema hewala

Tukiwa tumebakiza saa chache kabla hatujaingia mwaka mpya kwanza kabisa tumawashukuru wadauzii kwa kuwa pamoja na sisi mwaka mzima, senkyuuu
kwa upande wangu haya ndio matukio yaliyonisisimua mwaka 2013 kama una yako usisite ktk comment jimwageee umwagie ilimradi usitukane matusi maana huu mwaka una miezi 12 kama mingine ila ulikuwa mrefu matukio lukuki.....
leo tunakumbushana vitu vilivyo hit ndani na nje ya Tanzania
ninakutakia kila la kheri na mwaka mpya na jipange mapema hakuna lisilowezekana chini ya juu, ni kumomba Mungu tuu
senkyu 
cdt, The Choice

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni