.

Alhamisi, 26 Desemba 2013

DIAMOND KUWASOMESHA SHULE WATOTO WATATU WALIO SHINDA KUCHEZA NGOLOLO


Mmoja ya watoto watatu walioshinda kucheza ngololo.management yangu ya WCB itawasomesha miaka yote waliyobakiza shuleni ikiwa ni pamoja na kuwahamishia katika shule zilizo bora zaidi....Ahsanten sana Daresalaam kwa sapoti mliyonipa jana ....

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni