.

Jumatano, 15 Januari 2014

Hii ndiyo picha aliyopost Jackie Cliff kwenye instagram leo January 15


cliff
Baada ya exclusive interview  ambapo Juma Jux alisema kwamba Jackie Cliff yupo salama lakini sehemu alipo hata yeye haijui.
Jackie Cliff  amepost picha hiyo hapo juu kwenye account yake ya instagram ambapo account hiyo haiukua na new post tangu December 13 mwaka jana.
Caption ya picha hiyo haijasema chochote juu ya mambo yaliyosikika au mahali alipo.
cliff2


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni