.

Jumapili, 17 Novemba 2013

PHOTOS:DIAMOND NDIO MTANZANIA PEKEE ALIYE ALIKWA NA P-SQUARE KUSHUHUDIA ARUSI YA PETER OKEYO



  Pichani ni Diamond Platnumz msanii kutoka bongo akiwa na bwana harusi Peter wa Psquare pale walipokutana huko Lagos Nigeria kwenye harusi ya Peter. Diamond yupo nchini Naija kwaajili ya utengenezaji wa video yake mpya ya wimbo Number One remix aliyomshirikisha msanii kutoka huko huko Naija anaitwa Davido. Nadhani tutegemee mambo mazuri sana kutoka kwa Diamond
Akiwa na Mwanamuzi Iyana


Akiwa na Adebayo wa Man City

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni