.

Ijumaa, 14 Novemba 2014

Taarifa nyingine kuhusu ajali ya basi leo eneo la Mwanga


MWANGAHabari zilizotufikia kutoka Mwanga Mkoani Kilimanjaro zinasema kuna ajali mbaya imetokea maeneo ya Mwanga wakati basi la kampuni ya Mbazi Travellers lililokua likitokea Arusha kuelekea Dar es salaam kupinduka.
Ajali IITaarifa kutoka kwa ripota wangu wa nguvu zinasema ajali hiyo ilitokea baada ya basi hilo kujaribu kulipita basi jingine huku kukiwa hakuna mtu aliyepoteza maisha lakini inasemekana kuna idadi kubwa ya majeruhi ambao walikimbizwa katika hospitali ya KCMC Moshi.
Ajali III

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni