.

Ijumaa, 14 Novemba 2014

Taarifa kuhusu ajali nyingine ya moto Dar.

Huu ni mfano wa Gari la Kikosi cha Zimamoto.
Huu ni mfano wa Gari la Kikosi cha Zimamoto.
Taarifa zilizotufikia muda mfupi uliopita ni kuhusu tukio la ajali ya moto Dar es salaam.
Kupitia kipindi cha XXL kinachorushwa na Clouds,mtangazaji Adam Mchomvu ametoa taarifa kuhusiana na jali ya moto iliyotokea katika jengo la Machinga Complex lililopo Ilala, Dar es saalam
Chanzo cha moto huo mpaka sasa hakijafahamika na tunaendelea kufuatilia ili kukupa taarifa zaidi na hizi ni baadhi ya picha za tukio hilo.
IMG-20141114-WA0003
IMG-20141114-WA0004 IMG-20141114-WA0005
IMG-20141114-WA0008

Tags :

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni