.

Jumanne, 4 Novemba 2014

JE WAJUA DAVIDO ALILIPWA MILIONI 65 KWA SHOW ALIYOFANYA FIESTA??? HIKI NDO ALICHOKISEMA MWANA FA KUHUSIANA NA MKWANJA HUO..


Davido picha
Kwa mujibu wa MwanaFa akiwa kwenye kipindi Choice fm ni kuwa Davido alilipwa Dolla 40,000 kupiga show Fiesta.
Fa alihoji kwa nini waandaaji wasiwalipe dolla 10,000 wasanii wanne wa Bongo wapige show kali kuliko kuzipoteza kwa show mbovu ya Davido?
Je wadau wa Fiesta ni kweli kuwa show ya Davido haikuwa na thamani hiyo au ni kujikweza tu kwa Fa na wenzake?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni