.

Jumatatu, 22 Septemba 2014

MSANII WA BONGO MOVIE AFUNGUKA ''NIPO TAYARI KUPUNGUA TUMBO LANGU LAKINI SIO MAKALIO

Msanii wa Bongo Movies Bupe Ameongea na Udaku Specially Kuhusu umbo lake la Utata Mwingi hasa upande wa Nyuma.
“Makalio yangu Siyo Mchina, nimayarithi kwa mama yangu mzazi, ni mnene kama nilivyo mimi.”

USUMBUFU ANAOKUTANA NAO

“Si unajua wanaume wengi wanavyodata wanapoona wanawake waliojazia, usumbufu wao kwangu ni mkubwa sana kwa kweli.”

ANAJIKUBALI

“Mimi natamani kupungua tumbo tu lakini siyo makalio kwa sababu haya ndiyo yanawavutia watu, nikipungua nitakosa mvuto.”

“Huwa napenda kuvaa nguo fupi kama sketi na gauni kwa sababu mguu wangu ni wa bia halafu ni mzuri na unavutia.”


SAIZI YA NGUO ZA NDANI

“Kwa kweli saizi ninayovaa sijui na ni mara chache sana navaa kutokana na umbile langu na hali ya joto la Dar.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni