.

Jumanne, 30 Septemba 2014

MCHUNGAJI ALIYEWALISHA WAUMINI MAJANI AJA NA MPYA..SASA AWAPONYA WAGONJWA KWA KUWAKANYAGA KANYAGA

Yule Pastor Mwenye Vituko Vingi Kutoka South Afrika anayejulikana kwa jina la Lesego Daniel amekuja na Mpya baada ya kuwalisha majani waumini na kubadilisha petrol kuwa Juice ya Apple , Sasa eti anawaponya Waumini wake ambao wanasumbuliwa na magonjwa kwa kuwakanyaga migongoni...Angali Picha Hapo Juu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni