.

Jumatano, 23 Julai 2014

KALI ZA LEO: JE UNAJUA MAMBO KUMI AMBAYO MWANAMKE ANAWAZA PINDI ANAPOPISHANA NA MWANAUME NJIANI ?



 Soma hapa uelewe mambo ambayo mwanamke anawaza anapopishana na mwanaume
  1. Kwanza hutazama tembea yako,kisela au kiheshima ili ajue kama una kazi au laa
  2. Kama nguo zako zimefubaa basi unatembea juani na kama nguo zimejikunja basi hata pasi huna
  3. Nakama viatu vina vumbi basi moja kwa moja inaonyesha gari huna
  4. Kama pesa hutoi kwenye waleti basi hujazoea kuwa na pesa na hata lakimoja hujawahi kuwa nayo
  5. Kama hunukii vizuri basi wanawake huwajui vizuri, na hata hug au romance hujawhi pata kokote
  6. Kama nywele huja chana inaonekana hujitunzi na hata zake hutoweza kugaramia
  7. Ukiongea nae mda mrefu na maswali mengi basi una mtaka ila huelewi uanzaje kidume
  8. Ukimshika au ukimgusa popote basi unamtaka kimwili
  9. Kama nguo zako mkanda wa suruali na viatu havi machi basi pia moja kwa moja hujielewi na hujawahi kuwa na mwanamke
  10. Usipomtazama machoni hujiamini na inaonekana muongo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni