.

Jumatatu, 30 Septemba 2013

Soma alichosema Solo Thang baada ya kufariki msanii Mack Malik na sikiliza hapa ngoma yao ya zamani “Ndani ya Party”

Msanii Mack Malik ambaye ni mmoja wa wasanii wanaounda kundi la Wateule, amefariki dunia. Mack Malik zaidi ya kuwa producer, pia alikuwa ni rapper. Solothang ameonyesha masikitiko yake kwa kumpoteza Mack Malik, soma maneno aliyoyaandika na sikiliza hapa ngoma yao ya zamani sana akiwa na Solothang. Ngoma hii ni moja kati ya ngoma kali za Solothang na chorus alisimama marehemu Mack Malik

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni