.

Jumatatu, 30 Septemba 2013

Msanii wa Bongo Fleva Amefariki Dunia, Malik Ahmed Maarufu Kama Mack Malik Simba Aka Mack 2 B Wa Wateule .



#BreakingNews #Fahamu Msanii Na Producer Wa Music Wa Bongo Fleva Na Reggae Mack Malik Simba Amefariki Dunia Dakika 30 Zilizo Pita. Kaka Wa Marehemu Msafiri Masharubu Ameniambnia Kuwa Alikuwa Akisumbuliwa Na Kuvimba Kwa Miguu Sana. Amefia Nyumbani Kwao Yombo.

Mack Alikuwa Member wa Kundi la wateule na producer kwenye studio za Enrico Pale Sound Crafters. Tunazidi Kufuatilia Habari Zaidi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni