Mtandao wa Forbes umetoa list mpya ya matajiri hamsini kutoka Afrika list ambayo inaongozwa na tajiri wa Nigeria ambae ni Mfanyabiashara maarufu na Rais wa kampuni ya Dangote Aliko aliyekuwa akishikilia nafasi ya arobaini na tatu kwenye list ya matajiri wa dunia lakini sasa kapanda mpaka nafasi ya ishirini na tatu.
Jumamosi, 8 Novemba 2014
Labda hutopenda hii ya kumjua tajiri wa Afrika alietisha kwenye msafara wa matajiri wa dunia ikupite.
Mtandao wa Forbes umetoa list mpya ya matajiri hamsini kutoka Afrika list ambayo inaongozwa na tajiri wa Nigeria ambae ni Mfanyabiashara maarufu na Rais wa kampuni ya Dangote Aliko aliyekuwa akishikilia nafasi ya arobaini na tatu kwenye list ya matajiri wa dunia lakini sasa kapanda mpaka nafasi ya ishirini na tatu.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni