Haitokei kwa kila staa kuwa na ndugu wa damu ambae ni staa pia vilevile ila kwa mtu kama Cristiano Ronaldo ambae ni staa wa soka imetokea, dada yake (Kátia Aveiro) ni mwimbaji pia na sio tu wa kubahatisha ila kiukweli ni mkali.
Ni miezi miwili imepita toka Katia atoe single yake mpya Boom Sem Parar ambayo mpaka sasa imetazamwa na watu zaidi ya milioni moja laki nane ambapo video unaweza kuitazama hapa chini.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni