Naambiwa hii picha ni wakati alipookolewa mmoja wa watu waliorushwa kwenye maji kutokana na dhuruba iliyoipata boti hiyo.
Anasema ‘katika waliokwenda kutambua miili kaka mtu baada ya kuona maiti ya mdogo wake amezimia, watoto wa Shangazi ni watatu wamepotea ili mpaka sasa maiti ya pili imeonekana’
Suleiman Masoud akiwa msibani Mwanakwerekwe Zanzibar leo baada ya kupata taarifa za watoto watatu wa shangazi yake kupotea.
Wakati naipandisha hii stori Suleiman ameniandikia msg inayosema ‘mwili wa mtoto wa pili kati ya watatu waliopotea, umeonekana pia’
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni