Mwezi wa kwanza wa 2014 tayari
umemilikiwa na video za wasanii kama Diamond, Chege, Madee, Makomando na
sasa wanafata Weusi na ‘nje ya box’ ambayo hizi ni baadhi tu ya picha
za kitakachoonekana ndani yake.
Hizi hapa ni picha na kipisi cha video hiyo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni