Ameandika >>> ‘Kila kwenye nia kuna njia, tulivyoanza tulionekana kama wauza sura tu lakini sasa hivi naweza sema kuwa tunayafaidi matunda tuliyoyavumilia kwa muda mrefu sana, naweza kuthubutu kusema kuwa sekta ya bongo movie ndio sekta ya bongo iliyotoa ajira kwa vijana wengi sana kuliko sekta yoyote‘
Ray amemalizia kwa kusema ‘Mungu ibariki bongo movie, Mungu ibariki kazi ya mikono yote’
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni