.

Ijumaa, 27 Juni 2014

SASA UNAAMBIWA KITALE NA PENNY AKUNA SIRI TENA

KITALE

Msanii wa filamu za vichekesho, Kitale, ambae kwa sasa anatambulika zaidi kwa jina la ‘Mkude Simba’ amekanusha kuwa hajawai kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Vj Penny ambae aliwai kuwa mpenzi wa zamani wa Diamond.
PENNY
Kitale akizungumza Global TV
hivi karibuni ,amekanusha uvumi huo, ambao uliambatana na picha  zinazo muonyesha Penny   akimbusu Kitale.
KITALE
“Penny mimi sina mahusiano nae yoyote, siyo kweli sina mahusiano nae , mimi nina ndoa yangu na nina mke wangu na nina mtoto, naiheshimu ndoa yangu”Alisema Kitale.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni