.

Alhamisi, 26 Juni 2014

Picha 11 za Mzee Majuto, Timoth Conrad na wengine kwenye movie mpya Kenya. Posted by: Millard Ayo June 24, 2014 Ent. 5 Sabby Angel na Mzee Majuto. Director Timoth Conrad ambae ujuzi wake umetumika kwenye movie kadhaa za Tanzania ikiwemo ‘Mdudiko’ amehusika tena kuidirect movie mpya inayofanywa Mombasa na kuwashirikisha waigizaji mbalimbali akiwemo mchekeshaji Mzee Majuto. Movie hii iitwayo ‘Riziki’ inawashirikisha pia wakali wengine kama Mwigizaji Tino Muya, Sabby Angel, Dude hao wakiwa ni Watanzania ambapo kwa upande wa Kenya watahusika Penelorp Immaculate, Julie, Elizabeth Bana, Lavinah Wanjiku na Dominick Leo huku assistant actor akiwa ni Hassan Faisal ambae pia ni diretor maarufu nchini Kenya. 4Stori ya movie inamuhusu msichana wa Kikenya aliyekua akiishi Uingereza na kukopi tabia na tamaduni za huko ambapo baadae akajikuta kwenye mazingira magumu aliporudi nyumbani Afrika. Inakua ngumu kwake kwenye mapenzi pia na hata wa kumuoa inakua tabu kupata kwa sababu ya kukosa heshima kwa Wanaume na kutaka kuwa juu yao kimaamuzi. 3Hii ni movie ya Sabby Angel mrembo Mkenya anaeonekana kwenye hizi picha ambae ni amekua akifanya kazi Tanzania pia na kama una kumbukumbu aliwahi kuonekana kwenye movie ya ‘Hard price’ ya Ray na sasa ameanza kufanya kazi zake mwenyewe. 2 1 6 7 8 11 9 10 Director Timoth Conrad akiwa na waigizaji Tinno na Mzee Majuto. Kila kinachonifikia ni halali yako kukipata mtu wangu! ili niwe nakutumia moja kwa moja kwenye ukurasa wako wa twitter instagram na facebook jiunge na mimi kwa kubonyeza hapa

Picha 11 za Mzee Majuto, Timoth Conrad na wengine kwenye movie mpya Kenya.

5
Sabby Angel na Mzee Majuto.
Director Timoth Conrad ambae ujuzi wake umetumika kwenye movie kadhaa za Tanzania ikiwemo ‘Mdudiko’ amehusika tena kuidirect movie mpya inayofanywa Mombasa na kuwashirikisha waigizaji mbalimbali akiwemo mchekeshaji Mzee Majuto.
Movie hii iitwayo ‘Riziki’ inawashirikisha pia wakali wengine kama Mwigizaji Tino Muya, Sabby Angel, Dude hao wakiwa ni Watanzania ambapo kwa upande wa Kenya watahusika Penelorp Immaculate, Julie, Elizabeth Bana, Lavinah Wanjiku na Dominick Leo huku assistant actor akiwa ni Hassan Faisal ambae pia ni diretor maarufu nchini Kenya.
4Stori ya movie inamuhusu msichana wa Kikenya aliyekua akiishi Uingereza na kukopi tabia na tamaduni za huko ambapo baadae akajikuta kwenye mazingira magumu aliporudi nyumbani Afrika.
Inakua ngumu kwake kwenye mapenzi pia na hata wa kumuoa inakua tabu kupata kwa sababu ya kukosa heshima kwa Wanaume na kutaka kuwa juu yao kimaamuzi.
3Hii ni movie ya Sabby Angel mrembo Mkenya anaeonekana kwenye hizi picha ambae ni amekua akifanya kazi Tanzania pia na kama una kumbukumbu aliwahi kuonekana kwenye movie ya ‘Hard price’ ya Ray na sasa ameanza kufanya kazi zake mwenyewe.
2
1
6
7
8
11
9
10
Director Timoth Conrad akiwa na waigizaji Tinno na Mzee Majuto.
Kila kinachonifikia ni halali yako kukipata mtu wangu! ili niwe nakutumia moja kwa moja kwenye ukurasa wako wa twitter instagram na facebook jiunge na mimi kwa kubonyeza hapa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni