.

Jumamosi, 21 Septemba 2013

PENNY......."DIAMOND AKISAFIRI HUWA NAPATA HOMA KABISA"



Penny au sukari ya Diamond
Yule mwanadada anayewapandisha presha wadada wa mujini Penny mungilwa ama ukipenda muite sukari ya Diamond amechonga na thesuperstarstz nakueleza mengi kuhusu sukari wake huyo ambaye kwa sasa yupo nchini malaysia katika bonge la show.

Penny ambaye pia ni mtangazaji wa Tv hapa nchini tanzania amesema kwake hakuna wakati mgumu anaoupata kama Diamond akisafiri penny aliielezea thesupestarstz kuwa anaumia sana kumkosa sukari wake huyo na mara nyingi hujikuta akiugua kabisa kama diamond akimtajia safari.




Penny mapozi
Hapo ni kama alimchokoza mwandishi wetu nakujikuta akitaka kujua kama huwa kuna wakati wanasafiri wote au lah!!,,Mbona mara nyingi tu alijibu kifupi na ndipo nilipomuuliza kwanini hali hiyo inamtokea akasema.... Unajua mimi na Nassebu tumekuwa kama mapacha sasa mmoja akienda mbali na mwenzie basi aliyebaki huwa kama mgonjwa na ndio maana diamond akiwa mbali na mimi utakuta tunaongea na simu hadi mimi na mzuia maana hatulali sasa na hii ni ili kunifanya nione tupo wote kiukweli tumezoeana sana aliendelea kusema penny



Hilo bango hapo juu ndio kazi liyompeleka Diamond huko Malaysia ambapoa kwa mujibu wake ni kwamba atahakikisha anaacha jina huko kama kawaida yake.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni