Mbasha alipanda kizimbani katika mahakama ya Wilaya ya
Ilala kwa ajili ya kusikilizwa kwa kesi yake hiyo ambapo mwendesha
mashtaka Kiyoja Catherine aliahirisha kesi hiyo kutokana na Hakimu
Williberforce Luwhego kupata dharura.
Mara ya mwisho kabla ya hii kuahirishwa Flora Mbasha
alikwenda Mahakamani kwa mara ya kwanza akiwa na watu wake na hakukutana
wala kuongea na mume wake ambapo muda mfupi kesi hiyo ikaahirishwa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni