Picha 11 za Mzee Majuto, Timoth Conrad na wengine kwenye movie mpya Kenya.
Movie hii iitwayo ‘Riziki’ inawashirikisha pia wakali wengine kama Mwigizaji Tino Muya, Sabby Angel, Dude hao wakiwa ni Watanzania ambapo kwa upande wa Kenya watahusika Penelorp Immaculate, Julie, Elizabeth Bana, Lavinah Wanjiku na Dominick Leo huku assistant actor akiwa ni Hassan Faisal ambae pia ni diretor maarufu nchini Kenya.
Inakua ngumu kwake kwenye mapenzi pia na hata wa kumuoa inakua tabu kupata kwa sababu ya kukosa heshima kwa Wanaume na kutaka kuwa juu yao kimaamuzi.
Kila kinachonifikia ni halali yako kukipata mtu wangu! ili niwe nakutumia moja kwa moja kwenye ukurasa wako wa twitter instagram na facebook jiunge na mimi kwa kubonyeza hapa
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni